Kutokomeza Umasikini wa Nishati (KUNI) AFRIKA,
Ni mpango wa Eco Footprints Tz wa kujitolea na kuwezesha
jamii kutokomeza umaskini wa nishati kupitia uelewa wa rasilimali endelevu
pamoja na matumizi ya nishati jadidifu na kuhifadhi mazingira.
Mpango huu una mkakati wa kujitolea katika elimu, vitumizi na vichochezi vya nishati jadidifu mfano balbu jua,mkaa endelevu,majiko sanifu katika maeneo ambayo yameathirika na mabadiliko tabia nchi kutokana na ukataji miti ovyo na uharibifu wa misitu.Aidha baadhi ya maeneo hayo yamepata elimu na uelewa kutoka mashirika mbali mbali kwa hiyo kujitolea katika maeneo haya ambayo yana umuhimu katika nchi kiekologia na haki za binadamu.
Mfano Barafu iliyoko mlima Kilimanjaro inaendelea kuyeyuka na hii inachangiwa kimataifa na kitaifa kwa hiyo tukiwa kama wa ndani tunaona ni mchango wetu kushiriki “Kutokomeza Umaskini wa Nishati”KUNI ambayo inaleta mabadiliko tabia nchi na kuathiri haki za binadamu, jinsia pamoja na vyanzo vya vifo. Matumizi ya nishati hai ni endelevu kama itafuatiliwa na kuwa rasmi tutaendelea kushi na amani na asilia yetu.Tuna mpango wa kujitolea usanifu wa bidhaa rafiki mazingira pamoja na majiko sanifu,taa za solar na kutoa elimu ya kutengeneza vichochezi hai , kuongeza wigo mpana wa upatikanaji wa bidhaa sokoni na kama chanzo cha mapato kwa kaya.
Kutokana na kuvumbuliwa kwa mafuta na gesi Afrika mashariki hii inaleta kushiriki katika mchakato huu ili kuleta kufaidika kwa jamii na maendeleo endelevu na biashara ya hewa ukaa inayotokana na kuvuna nishati ufu na hii kwa upande mwingine inatakiwa kupunguza matumizi ya kuni na mkaa. Biashara ya nishati enedelevu inafaa kunufaisha jamii kupitia ujasiriamali wakuzalisha na kusambaza bidhaa za nishati jua .
Kutokana na ‘kufufua’ nishati ufu na kuhatarisha maisha ya viumbe hai nishati jadidifu ndio mkombozi wa baadae.Hivyo basi inchi za Afrika yaani Kenya,Tanzania Uganda,Mozambique na Angola zitatokomezaje umasikini wa nishati kupitia mkongo off gird na huku ikipunguza uzalishaji wa gesi joto kutokana na nishati ufu.
Mpango huu una mkakati wa kujitolea katika elimu, vitumizi na vichochezi vya nishati jadidifu mfano balbu jua,mkaa endelevu,majiko sanifu katika maeneo ambayo yameathirika na mabadiliko tabia nchi kutokana na ukataji miti ovyo na uharibifu wa misitu.Aidha baadhi ya maeneo hayo yamepata elimu na uelewa kutoka mashirika mbali mbali kwa hiyo kujitolea katika maeneo haya ambayo yana umuhimu katika nchi kiekologia na haki za binadamu.
Mfano Barafu iliyoko mlima Kilimanjaro inaendelea kuyeyuka na hii inachangiwa kimataifa na kitaifa kwa hiyo tukiwa kama wa ndani tunaona ni mchango wetu kushiriki “Kutokomeza Umaskini wa Nishati”KUNI ambayo inaleta mabadiliko tabia nchi na kuathiri haki za binadamu, jinsia pamoja na vyanzo vya vifo. Matumizi ya nishati hai ni endelevu kama itafuatiliwa na kuwa rasmi tutaendelea kushi na amani na asilia yetu.Tuna mpango wa kujitolea usanifu wa bidhaa rafiki mazingira pamoja na majiko sanifu,taa za solar na kutoa elimu ya kutengeneza vichochezi hai , kuongeza wigo mpana wa upatikanaji wa bidhaa sokoni na kama chanzo cha mapato kwa kaya.
Kutokana na kuvumbuliwa kwa mafuta na gesi Afrika mashariki hii inaleta kushiriki katika mchakato huu ili kuleta kufaidika kwa jamii na maendeleo endelevu na biashara ya hewa ukaa inayotokana na kuvuna nishati ufu na hii kwa upande mwingine inatakiwa kupunguza matumizi ya kuni na mkaa. Biashara ya nishati enedelevu inafaa kunufaisha jamii kupitia ujasiriamali wakuzalisha na kusambaza bidhaa za nishati jua .
Kutokana na ‘kufufua’ nishati ufu na kuhatarisha maisha ya viumbe hai nishati jadidifu ndio mkombozi wa baadae.Hivyo basi inchi za Afrika yaani Kenya,Tanzania Uganda,Mozambique na Angola zitatokomezaje umasikini wa nishati kupitia mkongo off gird na huku ikipunguza uzalishaji wa gesi joto kutokana na nishati ufu.
Mpango KUNI Afrika
unafanya tathmini kwenye kila kaya inayojitolea vifaa tumizi nishati jadidifu
hasa katika maeneo yaliyoathirika na ukataji na uharibifu wa misitu na umaskini
wa nishati.Katika hili wanatumia ufuatiliaji wa upunguzaji hewa ukaa katika
kaya kwa lugha ya kingereza indoor air pollution IAP.
”Biomass
will remain the major source of energy for rural populations, coupled with
niche renewables such as Solar PV, provided they are affordable, reliable and a
proper payments system is established9” Evance Kitui
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni